Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limemtia mbaroni mlinzi wa shule ya watoto ya Agape, iliyopo Kijiji cha Karansi, Wilaya Siha, mkoani humo Paulo Ruta (45), kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka mitatu.

Back to Home
Mlinzi mbaroni, akituhumiwa kumnajisi mtoto wa miaka mitatu
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
