Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Queen Sendiga amesema mkoa huo umeandaa mikakati maalumu ya kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa migogoro ya wakulima na wafugaji ambayo inasababisha chuki, uvunjifu wa amani, mauaji na uharibifu wa mali.

Back to Home
Morogoro yaweka mkakati kumaliza migogoro wakulima, wafugaji
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
