Watu wanne wameokolewa baada ya moto kuteketeza nyumba yao pamoja na mali mbalimbali ikiwamo gari, katika Kata ya Baruti, Kimara jijini Dar es Salaam huku changamoto ya miundombinu ya barabara ikitajwa kuchelewesha huduma ya Zimamoto na Uokoaji.

Back to Home
Moto wateketeza nyumba na gari, barabara yakwamisha uokozi
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
