Wakati Mto Ruvu na mito mingine ikiendelea kuwa chanzo cha vifo na majeruhi kwa wananchi wanaovuka katika baadhi ya maeneo ya Morogoro, Serikali na wadau wa maendeleo wameanzisha mpango wa kujenga madaraja 1,000 ya vivuko salama ndani ya miaka mitano nchini.

Back to Home
Mpango wa kujenga madaraja 1,000 nchini waanza
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
