Serikali imemuokoa mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 10 ambaye jina lake limehifadhiwa, baada ya kubainika alikatishwa masomo na ndugu zake na kuozeshwa kwa kijana mwenye miaka 20 katika Kijiji cha Ruvu Jiungeni, Kata ya Ruvu, Wilaya ya Same, Mkoa wa Kilimanjaro.

Back to Home
Mtoto wa miaka 10 aozeshwa Same, Serikali yamwokoa
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
