Uwepo wa rasilimali muhimu, miundombinu ya kimkakati na fursa katika sekta mbalimbali, umeifanya Mtwara kuwa miongoni mwa maeneo yenye nafasi kubwa ya uwekezaji katika mikoa ya kusini, ingawa upungufu wa viwanda vya kuongeza thamani, teknolojia, mitaji na huduma za uzalishaji bado ni changamoto.

Back to Home
Mtwara yatajwa kitovu fursa za uwekezaji Kanda ya Kusini
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
