Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Abuubakar Zubeir amewataka Waislamu nchini kufunga na kumuomba Mwenyezi Mungu kwa siku tatu kutokana na utabiri wa mvua kubwa za El Nino uliotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Agosti 18, 2026.

Back to Home
Mufti awaomba Waislamu kufunga siku tatu kuombea mvua za El Nino
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
