Watoto wenye matatizo ya meno nchini wameanza kupata huduma kutoka kwa madaktari bingwa baada ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kuanzisha kituo maalumu cha huduma za afya ya kinywa na meno kwa watoto.

Back to Home
MUHAS yaanzisha tiba ya kibingwa ya kinywa, meno kwa watoto
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
