Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (Alat) ambaye pia ni Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine Sima amemuagiza Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba kuunda timu maalumu ya kuchunguza madai dhidi ya baadhi ya maofisa wa maendeleo ya jamii wanaodaiwa kuwaomba rushwa vijana wanaofuatilia mikopo ya halmashauri.

Back to Home
Mwenyekiti Alat aagiza uchunguzi rushwa miradi ya vizimba
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
