Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesisitiza umuhimu wa wawekezaji Zanzibar, kuwapa kipaumbele wazawa katika nafasi za ajira ili wanufaike na uwekezaji unaofanyika katika maeneo yao.

Back to Home
Mwinyi awataka wawekezaji kuajiri wazawa
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
