Wakati mikoa mbalimbali Tanzania ikianza kuchukua hatua kurejesha usafi wa mazingira, takwimu zinaonesha takribani nusu ya taka zinazozalishwa katika mikoa 26 nchini hazikusanywi, hali inayosababisha mrundikano mitaani na kuongeza hatari kwa afya za wananchi na mazingira.

Back to Home
Namna taka nyingi zinavyobaki mitaani, wadau waonya Dar kutumia JKT
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
