Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuunga mkono ajenda ya Serikali ya kukuza matumizi ya nishati safi ya kupikia, uhifadhi wa mazingira, utalii na ubunifu wa vijana, ikieleza maeneo hayo ni muhimu katika kujenga uchumi endelevu.

Back to Home
NBC yaungana na Rais Samia maonyesho sanaa ya picha
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
