Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umekamilisha usajili wa kaya 276,004 zilizotengwa na Serikali kwa ajili ya kupata huduma za afya kupitia mfumo wa bima, huku ukisema tiba rekebishi imejumuishwa katika mafao 372 ya Bima ya Afya kwa Wote.

Back to Home
NHIF yakamilisha usajili kaya 276,004 zilizolengwa bima ya afya
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
