Vibali viwili alivyotoa kwa raia wa kigeni vimemgharimu Paschal Rwechungura aliyekuwa Ofisa wa Kazi Daraja la Kwanza, aliyefukuzwa kazi baada ya kukutwa na hatia katika makosa matatu ya kinidhamu kati ya matano na sasa amekwama Mahakama ya Rufaa katika juhudi zake za kurejea kazini.

Back to Home
Ofisa aliyepinga kufukuzwa kazi akwama Mahakama ya Rufaa
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
