Mtendaji Mkuu mstaafu wa Mahakama, Profesa Elisante Ole Gabriel ameshauri Serikali kuongeza muda wa mafunzo kwa vijana wanaojiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa Sheria, akisema muda wa miezi mitatu hautoshi.

Back to Home
Ole Gabriel: Ongezeni muda mafunzo ya JKT
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
