Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema chama hicho kiko tayari kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, huku akieleza mchakato huo utaanza baada ya kukamilika kwa Kamati ya Pamoja kati ya chama hicho na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Back to Home
Othman, Wasira wataja utayari, umuhimu wa SUK
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
