Mahakama ya Wilaya ya Arusha imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela mfanyabiashara Thomas Temu (35), huku wenzake wawili wakiachiliwa kwa masharti, baada ya kukiri makosa ya kutengeneza na kukutwa na pombe bandia pamoja na kutumia stempu feki za kielektroniki za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Back to Home
Pombe, stemp feki za TRA zampeleka jela mwaka mmoja
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
