Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anamringi Macha amesema Maonesho ya Nanenane yanapaswa kuwa shamba darasa la vitendo litakalowawezesha wakulima, wafugaji na wavuvi kujifunza teknolojia mpya, mbinu bora za uzalishaji na namna ya kuongeza thamani ya mazao na mifugo yao.

Back to Home
RC Macha: Nanenane iwe darasa la kuongeza tija kwa wakulima
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
