Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Said Mohamed Mtanda amewataka viongozi, watumishi wa umma na wananchi wa mkoa huo kumpa ushirikiano katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo, akisema ameteuliwa katika nafasi hiyo kwa ajili ya kufanya kazi na si vinginevyo.

Back to Home
RC Mtanda: Simiyu nimekuja kufanya kazi, sina chawa
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
