Waathirika 12 wa moto ulioteketeza maduka yao usiku wa Agosti 14, 2026 jijini Tanga, wamesema licha ya kupoteza mali na vyanzo vyao vya mapato, hawatakata tamaa, bali wataendelea kupambana kurejea katika maisha yao ya awali.

Back to Home
RC Tanga awashika mkono waathirika wa moto, waeleza matarajio
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
