Bei ya nazi imepanda katika masoko mbalimbali katika Manispaa ya Morogoro, jambo lililoibua malalamiko kwa watumiaji wa kiungo hicho cha chakula, na hivyo wakilazimika kutumia mbadala wa viungo vingine kama karanga na ufuta.

Back to Home
Sababu bei ya nazi kupaa Morogoro
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
