Kukosa misingi ya dini na maadili, usiri katika matumizi ya simu, usaliti, utegemezi wa mwenza ushawishi wa mitandao ya kijamii, vimetajwa ni miongoni mwa mambo yanayo changia migogoro na kuvunjika kwa baadhi ya ndoa za vijana.

Back to Home
Sababu migogoro, ndoa za vijana kuvunjika zatajwa
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
