Wataalamu wa afya wamesema, ongezeko la matumizi ya dawa za dharura za kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) (PEP) nchini, ni ishara ya kuongezeka kwa uelewa wa wananchi kuhusu huduma hiyo na ongezeko la watu wanaojiweka kwenye mazingira ya hatari ya kuambukizwa VVU.

Back to Home
Sababu ongezeko matumizi dawa za PEP
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
