Serikali imeanza maandalizi ya kufanya moja ya mageuzi makubwa zaidi katika sekta ya sayansi, teknolojia na ubunifu, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuiwezesha Tanzania kujenga uchumi unaotegemea maarifa, utafiti na teknolojia za kisasa katika kipindi cha miaka 25 ijayo.

Back to Home
Sababu Tanzania kutunga sera mpya ya sayansi, teknolojia na ubunifu
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
