Maofisa uhamiaji watatu, waliohukumiwa adhabu ya kifo kwa madai ya kumuua mkazi wa Kakonko, mkoani Kigoma, Enos Elias, wameachiwa huru na Mahakama ya Rufani, huku ikitoa sababu kuu tatu za kufuta hukumu hiyo.

Back to Home
Sababu tatu zilizowaokoa maofisa uhamiaji kitanzi cha kifo
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
