Serikali ya Uganda kupitia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) imezindua rasmi sanamu ya kumbukumbu ya Komando, Luteni Kanali Yonatan ‘Yoni’ Netanyahu, aliyekuwa kamanda wa kikosi maalumu cha Israel aliyeuawa wakati wa Operesheni Entebbe iliyofanyika Julai 4, 1976.

Back to Home
Sanamu ya kaka wa Netanyahu yajengwa Uganda
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
