Mkutano wa 67 wa Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP) unaofanyika Zanzibar, umefungua fursa kwa Tanzania kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha biashara ya umeme katika ukanda wa Kusini mwa Afrika, huku ukitarajiwa kuongeza mapato ya taifa kupitia mauzo ya umeme na kuimarisha usalama wa nishati katika ukanda huo.

Back to Home
SAPP kufungua fursa Tanzania kuwa kitovu biashara ya umeme
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
