Mfanyabiashara na mwekezaji wa Tanzania, Rostam Aziz amezitaka serikali za Afrika Mashariki kuimarisha utawala wa sheria, kulinda haki za umiliki wa mali na kuhakikisha kuwa sera zinakuwa thabiti na zinazotabirika.

Back to Home
Sera thabiti zitaamua mustakabali wa uwekezaji Afrika Mashariki – Rostam
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
