Serikali imesema itashirikiana na Benki ya Ushirika (Coop Bank) na wadau wengine wa maendeleo kuhamasisha wananchi, hususan vijana na wanawake, kujiunga na vyama vya ushirika ili kupata mitaji na mikopo nafuu kwa ajili ya kuendeleza shughuli za mifugo na uvuvi.

Back to Home
Serikali, Coop Bank kuhamasisha ushirika kwa wafugaji, wavuvi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
