Serikali imesema uwekezaji zaidi katika miundombinu ya mawasiliano ni muhimu ili kuiwezesha Tanzania kufikia uchumi shindani wa kidijitali, huku ikitaka ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi katika kuongeza wigo wa huduma, ujuzi na ubunifu.

Back to Home
Serikali: Uchumi wa kidijitali unahitaji uwekezaji zaidi
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
