Serikali imewataka wananchi kutunza akiba ya chakula inayoweza kuwatosha kwa misimu miwili, kutokana na tahadhari ya uwezekano wa mvua kubwa zinazohusishwa na El Nino, zinazoweza kuathiri uzalishaji wa baadhi ya mazao.

Back to Home
Serikali: Wekeni akiba ya chakula El Nino inakuja
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
