Serikali imesema matumizi ya Akili Unde (AI) ni muhimu kuimarisha sekta ya afya nchini, lakini imeonya kuwa bila mifumo madhubuti ya kulinda taarifa za wananchi, Tanzania inaweza kujikuta ikiingia katika ukoloni wa kidijitali unaotokana na utegemezi wa teknolojia na taarifa zinazozalishwa nje ya nchi.

Back to Home
Serikali yaonya ukoloni wa kidijitali sekta ya afya
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
