Serikali imetaka fedha zitakazokusanywa kupitia mifuko ya uwekezaji wa pamoja zielekezwe zaidi kwenye shughuli za uzalishaji mali ikiwemo kilimo, viwanda, madini, ufugaji na uvuvi. Ikiwa ni mkakati wa kuongeza ajira na kuifanya sekta binafsi kuwa injini kuu ya uchumi.

Back to Home
Serikali yataka mitaji ya mifuko ielekezwe kwenye uzalishaji
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
