Siku moja baada ya wananchi kueleza malalamiko kuhusu mfumo wa malipo ya dawa, ukosefu wa maelezo ya kutosha kuhusu gharama za matibabu na urasimu katika utoaji wa huduma katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Serikali imeagiza maboresho ya haraka ya mfumo wa malipo kwa kutumia teknolojia ili kuongeza uwazi na kuondoa malalamiko.

Back to Home
Serikali yatoa maagizo Muhimbili baada ya malalamiko ya wananchi
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
