Serikali ya Tanzania imezitaka kampuni zinazozalisha vifaa na kutoa huduma za uhandisi wa madini kuhakikisha uwekezaji wao unawanufaisha wachimbaji wadogo na wa kati, ikisema uzalishaji wa bidhaa hizo nchini unaweza kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje.

Back to Home
Sh35 bilioni kuzalisha vifaa vya migodini Tanzania
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
