Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeanza kujenga nyumba za kisasa za makazi ya watumishi wake kwa mara ya kwanza nchini, huku nyumba sita zenye thamani ya Sh750 milioni zikikamilishwa katika Wilaya ya Momba, Mkoa wa Songwe.

Back to Home
Sh750 milioni kujenga nyumba za watumishi wa Takukuru Momba
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
