Sheikh wa Mkoa wa Pwani, Khamis Mtupa, ameitaka Polisi kuingilia kati tabia ya baadhi ya wanawake wanaokodi daladala kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe za ndoa, lakini wakiwa njiani hukaa kwenye madirisha ya magari hayo na kucheza kwa kukata mauno, huku wengine wakifikia hatua ya kufunua nguo.

Back to Home
Sheikh Mtupa: Polisi wawashughulikie wanawake wanaokata mauno kwenye magari
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
