Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimetangaza kutaka kukutana na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ili kujadili changamoto zinazodaiwa kujitokeza baada ya mabasi ya mikoani kuagizwa kuanzia na kumalizia safari zake katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli.

Back to Home
Taboa kubisha hodi kwa Waziri Mkuu
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
