Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha imebaini dosari katika miradi 109 kati ya 164 ya maendeleo iliyofuatiliwa katika kipindi cha miaka mitatu, ikiwamo viashiria vya uvujaji wa rasilimali, ucheleweshaji wa miradi na hatari ya wananchi kutopata thamani halisi ya fedha zilizotumika.

Back to Home
Takukuru: Miradi 109 Arusha ina dosari
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
