Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kupitia Kitengo cha Usalama wa Miundombinu, limeanza mkakati wa kukabiliana na wizi na uharibifu wa miundombinu ya umeme wilayani Songwe, Mkoa wa Songwe, kwa kutoa elimu na mbinu kwa maofisa wa Polisi ngazi ya kata.

Back to Home
Tanesco, Polisi wapambana na wizi wa nyaya Songwe
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
