Tanga. Mkoa wa Tanga umeunda timu tendaji ya kukabiliana na maafa yanayoweza kusababishwa na mvua za El Niño, huku wakuu wa wilaya wakitakiwa kubaini maeneo hatarishi na kuchukua hatua kabla ya mvua hizo kuanza.

Back to Home
Tanga yaweka mkakati kukabiliana na El Niño
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
