Serikali imekamata tani 139 za korosho mkoani Mtwara zinazodaiwa kuwa chini ya viwango vya ubora katika Halmashauri ya Mji wa Nanyamba, huku watu wanne wakikamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi.

Back to Home
Tani 139 za korosho chafu zakamatwa Mtwara, wanne washikiliwa
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
