Serikali na kampuni ya AngloGold Ashanti zimejadili namna ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, huku kampuni hiyo ikieleza nia ya kuendeleza shughuli zake nchini na kutumia uzoefu wake katika maeneo mengine yenye leseni za utafiti wa madini.

Back to Home
Tanzania, AngloGold kuangalia fursa za kupanua shughuli
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
