Serikali inatarajia kuzindua miradi mipya 27 ya migodi ya madini aina ya graphite (kinywe), jambo litakalochangia kuifanya Tanzania kuwa kinara wa uzalishaji wa madini hayo duniani.

Back to Home
Tanzania kuzindua migodi mingine 27 ya madini ya kinywe
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
