Tanzania imepata tuzo tano za utambuzi kutoka Jumuiya ya Huduma Jumuishi za Kifedha (Alliance for Financial Inclusion–AFI), kutokana na hatua mbalimbali zilizochukuliwa kuimarisha upatikanaji na matumizi ya huduma rasmi za kifedha nchini.

Back to Home
Tanzania yazoa tuzo, wanawake waking'ara ujumuishi wa kifedha
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
