Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imezitaka mamlaka zinazosimamia miundombinu ya usafiri, ikiwamo reli, kujiandaa kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za vuli zinazotarajiwa kuwa juu ya wastani hadi wastani katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2026.

Back to Home
TMA yatahadharisha mvua, reli hatarini
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
