Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza kuchukua hatua za tahadhari kulinda ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) dhidi ya athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El Nino, likisema halitaki kazi iliyofanyika irudi nyuma kutokana na athari hizo.

Back to Home
TRC yaweka mikakati kuikabili El Nino kwenye ujenzi wa SGR
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
