Rais wa Marekani, Donald Trump amesema atampa kila Mmarekani mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea kiasi cha dola 5,000 (takribani Sh13 milioni) iwapo chama chake cha Republican kitashinda mabunge yote mawili katika uchaguzi wa katikati ya muhula utakaofanyika Novemba.

Back to Home
Trump aahidi Dola 5,000 kwa kila Mmarekani Republican ikishinda uchaguzi
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
