Fikiria mwanamke aliyeolewa kwa miaka kadhaa, lakini hajapata mtoto. Kila anapokwenda kwenye vikao vya familia, swali analokutana nalo ni moja: “Mtoto lini?” Anapopita muda, minong’ono inaanza. Wengine wanamwita tasa, wengine wanamshauri atafute dawa za kienyeji, na wengine hata kumshawishi mume wake aoe mwanamke mwingine.

Back to Home
Tusiwabebeshe wanawake mzigo wa kutozaa
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
