Katika kuhakikisha wananchi wenye sifa za kupata mikopo ya asilimia 10 wananufaika na fedha hizo, Wilaya ya Ubungo imeanza operesheni maalumu ya kuwasaka wanavikundi waliokopeshwa fedha hizo bila kuzirejesha.

Back to Home
Ubungo yasaka wadaiwa sugu wa mikopo ya asilimia 10
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
